KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMA E-mail: dvdmwk6@gmail..com SIMU: 0713 084 360

Tuesday, August 6, 2013

SHEREHE YA KUMTOA MTOO WA MR PASCAL P IBONDO

Hivi ndivyo shisha inavovutwa , kijana Pascal akionesha umairi wake katika kuvuta Shisha.
 Wadau wa Imagepowermedia blog wakijinafasi.

 
Hongera sana Bw. Pascal P Ibondo wa tatu kushoto kwa kufanikisha sherehe ya kumtoa Mtoto yaani 40.

 
Mr & Mrs Pascal wafurahi na kijana wao baada ya tafrija ya kumtoa dogo iliyofanyika kwa Marisham Kinondoni jijini Dar es Salaam.

aaaaaaaaaaah wewe cameraman na hapa je……! sisi ni washkaji wa Pascal .

 Mabaunsa mlangoni  na kazi na dawa , kula kama kawa.

Karim na vema  yake nae alikuwepo.

Hongera mwanetu kwa kulea.

Rose ( kushoto) akimpongeza kaka yake kwa kumlete wifi na Shangazi

 
kushto Maria akimtunza wifi , mambo ya silva bana.

Wifi weeeee, tumependeza eeeeeeeh…..!

Mapaparazi nao walikuwepo kiufundi zaidi

wadau wa imagepowerblog katika Picha.

 
Kumbe na huyu alipombeka bana