KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMA E-mail: dvdmwk6@gmail..com SIMU: 0713 084 360

Friday, February 20, 2015

MKUTANO WA KIKANDA KUHUSU MAENDELEO YA AFRIKA UNAFANYIKA JIJINI DSM


1.    Meya wa jiji la Dar es Salaam, Didas Masaburi akifafanua jambo wakati wa Mkutano unaokutanisha Viongozi na watunga Sera kutoka Nchi za Afrika mashariki , unaozungumzia changamoto za ukuaji wa miji na kushughulikia hali ya baadae ya miji ya Afrika mpaka ifikapo 2050, katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jijini Dar es Salaam.

 
1.    Senior Urban Expert, World Bank Tanzania, Andre Bald, akifaonyesha moja ya ramani ya Manispaa za jiji la Dar Es Salaam, wakati wa Mkutano wa Kikanda unaokutanisha Viongozi na watunga Sera kutoka Nchi za Afrika mashariki , unaozungumzia changamoto za ukuaji wa miji na kushughulikia hali ya baadae ya miji ya Afrika mpaka ifikapo 2050, katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jijini Dar es Salaam.


1.    Sauda  Kilumanga akichangia mada katika Mkutano wa siku mbili wa  kikanda unaokutanisha Viongozi na watunga Sera kutoka Nchi za Afrika mashariki , unaozungumzia changamoto za ukuaji wa miji na kushughulikia hali ya baadae ya miji ya Afrika mpaka ifikapo 2050, katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jijini Dar es Salaam.