KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMA E-mail: dvdmwk6@gmail..com SIMU: 0713 084 360

Tuesday, August 6, 2013

MSHINDI WA AIRTEL SHINDA NYUMBA.


 
Meneja Mahusiano wa kampuni ya simu ya mkononi  Airtel, Jackson Mbando (katikati ) , akionesha waandishi wa habari (hawapo pichani) moja ya namba ya mshindi wa kwanza wa Nyumba wakati wa droo ya kutafuta mshindi huyo iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam, kulia ni Meneja masoko wa kampuni hiyo ,Aneth Muga na kushoto ni msimamizi wa michezo ya kubahatisha ,Mrisho Millao.

 
Meneja Mahusiano wa kampuni ya simu ya mkononi  Airtel, Jackson Mbando (katikati ) , akionesha waandishi wa habari (hawapo pichani) moja ya namba ya mshindi wa kwanza wa Nyumba wakati wa droo ya kutafuta mshindi huyo iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam, kulia ni Meneja masoko wa kampuni hiyo ,Aneth Muga na kushoto ni msimamizi wa michezo ya kubahatisha ,Mrisho Millao.