KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMA E-mail: dvdmwk6@gmail..com SIMU: 0713 084 360

Saturday, November 1, 2014

HARUSI YA MICHAEL NA MARIAGRACE ILIYOFANYIKA KATIKA KANISA LA MZEE WA UPAKO

Muda umefika sasa wa Michael kuoa, akiingia kanisani kwa mzee wa Upako.

 Mr and  Mrs Michael wakipoz na maids na Flowerboys

. Michael na mariagrace wakipoz kwa Picha na Mr and Mrs Pasco



Muda wa mariagrace kuolewa sasa , akiingia kanisani tayari kwa ndoa.

Michael akimfunua bi harusin kabla ya ndoa kufungwa kwa mzee wa upako.

. Pokea Pete hii iwe ishara ya uaminifu wangu kwako.

. Pokea Pete hii iwe ishara ya uaminifu wangu kwako.

wakisaini shahada za ndoa

wakisaini shahada za ndoa



Wakipokea shahada zao za ndoa

Wakipokea shahada zao za ndoa