Meneja wa
duka la Mlimani city, Pastory Mrosso
(katikati) akimpongeza, Johari Habibu
(kushoto) baada ya kujishindia zawadi zenye thamani ya tsh milioni 10. katika
droo iliyoendeshwa dukani hapo kwa wateja wake, makabidhiano hayoyalifanyika
dukani hapo jijini Dar es Salaam, kulia ni Meneja uendeshaji wa duka hilo
Girish Kumar.
|