KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMA E-mail: dvdmwk6@gmail..com SIMU: 0713 084 360

Friday, October 24, 2014

NDOA YA NAABIL NA AISHA

 
Naabil Hosea na Aisha Abubakari wakiwa katika Nyuso za furaha mara baada ya kufunga Ndoa yao takatifu.

Bwana harusi akiindia nyumbani kwa Mzee, Abubakari tayari kwa kuoa.

Imam akipata ridhaa ya kufungisha ndoa toka kwa Bi Aisha Abubakari ambaye ni Bi Harusi.

.Wacha niweke Ubani kazi ianze

Bwana harusi Naabil Hosea(kulia) , akifungishwa ndoa na kaka wa Bi harusi.(kushoto) katikati ni imam mfungishaji Ndoa .

Dua inafanyika baada tu ya ndoa kufungwa

Mkono wa pongezi

.bwana harusi, Naabil Hosea wa pili kutoka kulia akipoz kwa Picha ya pamoja na shemeji zake baada ya ndoa kufungwa , nyumbani kwa bia harusi kinondoni jijini Dar es Salaam.

Mkono mtupu haulambwi , toa kitu umwone mkeo , mambo ya dada wa bi harusi .

.Dua kwanza mama, tayari nimekua


 
sahihi katika vyeti, bi Aisha akisaini cheti chake cha ndoa

Bwana harusi kisaini cheti cha ndoa

maharusi wakipokea shahada zao za ndoa.



No comments:

Post a Comment