KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMA E-mail: dvdmwk6@gmail..com SIMU: 0713 084 360

Thursday, October 16, 2014

MASHINDANO YA DAR ROTARY MARATHON 2014 YAFANYIKA

 
.Baadhi ya washiriki wa mbio za kilometa 21, ya Dar Rotary Marathon wakichuana katika mashindano hayo.



Mshindi wa mwaka huu wa mbio za kilometa 21 za Dar Rotary Marathon, Dickson Marwa (kushoto) akichuana vikali na washiriki wengine wakati katika mbio hizo .
 
Watoto nao hawakua nyuma katika mashindano ya Dar Rotary Marathon yaliyofanyika jijini.

 
Mshiriki wa Dar Rotary Marathon, Musa Salum, akikokota Baiskeli baada ya kuharibika wakati wa mashindano hayo.

 
Mshindi wa pili wa mbio za Kilomneta 21 za Dar Rotary Marathon, Catherine Range akisaidiwa baada ya kumaliza mbio hizo.


Rais mstaafu wa awamu ya pili , Ali Hassan Mwinyi wa pili kulia, akimaliza matembezi ya kilometa Tano ya Dar Rotary Marathon 2014, kwenye Viwanja vya Farasi Oysterbey jijini Dar es Salaam, kulia ni Kamanda wa Kanda maalumu ya Kipolisi , Seleman Kova, wa pili kushoto ni Meya wa Kinondoni.

 
Baadhi ya washiriki wa  Dar Rotary Marathon, wakipoz kwa Picha na sanamu ya mashindano hayo.


. Mshindi wa mbio za Biskeli za kilometa 21 za Dar Rotary Marathon, Omary Juma, akipokea kikombe, kama alama ya Ushindi huo.

 
Mshindi wa mbio za Biskeli za kilometa 21 za Dar Rotary Marathon, Omary Juma, akifurahia baada ya kupokea kikombe kama alama ya Ushindi huo.

 
Mshindi wa Mbio za Baiskeli za  kilometa 21 kwa washiriki wenye umri mdogo za Dar Rotary Marathon akipokea kikombe toka kwa Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi .



Kamishina Msaidizi ACP Camilius Wambura (kushoto) akikabikdhiwa Funguo ya Pikipiki na mmoja wa waratibu wa Mbio za Dar Rotary Marathon, Harish Bhati (kulia) wakati wa mashin dano hayo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment