KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMA E-mail: dvdmwk6@gmail..com SIMU: 0713 084 360

Sunday, March 22, 2015

Wafanyakazi wa NBC wajitolea kuosha magari kutafuta fedha kupinga ukatili wa watu wenye ulemavu wa ngozi (albino)

Baadhi ya mameneja wa matawi ya Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakijitolea kuosha magari ili kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia watu wenye ulemavu wa ngoz (albino) na kusaidia juhudi za  kupinga ukatili dhidi yao katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Meneja wa NBC Kanda ya Dar es Salaam Rachel Mwalukasa na kulia ni Meneja wa Tawi la Sea Cliff, Mariam Kombo.

Baadhi ya mameneja wa matawi ya Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakijitolea kuosha magari ili kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) na kusaidia juhudi za  kupinga ukatili dhidi yao katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Meneja wa NBC Tawi la Muhimbili, Fatma Gulamsood,Meneja wa Tawi la Mnazi Mmoja, Osmund Kinunda  na  Meneja wa Tawi la Sea Cliff, Mariam Kombo.

  Baadhi ya mameneja wa matawi ya Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakijitolea kuosha magari ili kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) na kusaidia juhudi za  kupinga ukatili dhidi yao katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja wa NBC Tawi la Muhimbili, Fatma Gulamsood,Meneja wa Tawi la Mnazi Mmoja, Osmund Kinunda  na  Meneja wa Tawi la Kichwele, Frank Mwanga.


  Baadhi ya mameneja wa matawi ya Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakijitolea kuosha magari ili kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) na kusaidia juhudi za  kupinga ukatili dhidi yao katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja wa NBC Tawi la Muhimbili, Fatma Gulamsood,Meneja wa Tawi la Sea Cliff, Mariam Kombo na Meneja wa Tawi la Kichwele, Frank Mwanga.

  Baadhi ya wafanyakazi wa NBC wakiosha magari ili kutafuta fedha kwa ajili ya kusaidia mapambano dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino).