KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMA E-mail: dvdmwk6@gmail..com SIMU: 0713 084 360

Wednesday, January 14, 2015

DROO YA SABA YA SHINDANO LA " TUTOKE NA SERENGETI" YAIBUA MSHINDI WA TANO WA LIMO BAJAJI


   Kaimu meneja chapa wa Serengeti Premium Lager, Elihuruma Ngowi, akiongea na waandishi wa habari, hawapo Pichani wakati wa kuchezesha droo ya Saba ya Shindano la Tutoke na Serengeti  la kumtafuta mshindi wa tano ambapo Mfaume Hassan mkazi wa mbagala ambaye ni derive Taxi, ameibuka mshindi wa Limo Bajaji yenye thamani ya tsh milioni tisa. Kulia ni msimamizi toka bodi ya michezo ya kubahatisha , Chiku Salehe. Droo hiyo ilifanyiak makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.
 
 Kaimu meneja chapa wa bia ya Serengeti Premium Lager, Eliuruma Ngowi, akimkaribisha Godfrey Longino, mmoja wa washindi wa Limo Bajaji ambaye alifika kushuhudia droo ya saba namna shindano la tutoke na Serengeti linavyoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti. Makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.

1.    Kaimu meneja chapa wa bia ya Serengeti Premium Lager, Elihuruma Ngowi akibonyeza batani ya kompyuta, wakati wa kuchezesha droo ya saba ya tutoke na Serengeti wakati wa kumtafuta mshindi wa tano wa Limo Bajaji, katika Shindano la “Tutoke na Serengeti” linaloendeshwa na kampuni hiyo,  katikati ni msimamizi toka bodi ya michezo ya kubahatisha , Chiku Salehe. Na kulia ni Godfrey Longino, mmoja wa washindi wa shindano hilo akishuhudia namna shindano hilo linavyoendeshwa. Droo  hiyo ilifanyika Makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.

Kaimu meneja chapa wa bia ya Serengeti Premium Lager, Elihuruma Ngowi (kushoto) na, msimamizi toka bodi ya michezo ya kubahatisha ,Chiku Salehe na mmoja wa washindi wa Shindano la Tutoke na Serengeti, Godfrey Longino, wakifurahi baada ya kumpata mshindi wa tano wa Limo Bajaji katika, ambapo Mfaume Hassan ameibuka mshindi ambaye ni Dreva Tax na mkazi wa mbagala jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo ilifanyika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.



 Pichani ni baadhi ya waandishi wa habari wakifatilia jambo wakati wa kuchezesha droo ya saba ya shindano la “Tutoke na Serengeti”, liliyochezwa makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam, ambapo dereva tax Mfaume Hassan, amejishindia Limo Bajaji ambaye ni mkazi wa mbagala jijini.

 Kaimu meneja chapa wa bia ya Serengeti Premium Lager, Elihuruma Ngowi akiongea kwa simu na mshindi wa limo bajaji, wakati wa kuchezesha droo ya saba ya “Tutoke na Serengeti” katikati ni msimamizi toka bodi ya michezo ya kubahatisha , Chiku Salehe. Na kulia ni Godfrey Longino, mmoja wa washindi wa shindano hilo akishuhudia namna shindano hilo linavyoendeshwa. Hafla hiyo ilifanyika Makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.



Kaimu meneja chapa wa bia ya Serengeti Premium Lager, Elihuruma Ngowi akifafanua jambo, wakati wa kuchezesha droo ya saba ya “Tutoke na Serengeti’ wakati wa kumtafuta mshindi wa tano wa Limo Bajaji, katikati ni msimamizi toka bodi ya michezo ya kubahatisha , Chiku Salehe. Na kulia ni Godfrey Longino, mmoja wa washindi wa shindano hilo akishuhudia namna shindano hilo linavyoendeshwa. Droo hiyo ilifanyika Makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.