KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMA E-mail: dvdmwk6@gmail..com SIMU: 0713 084 360

Tuesday, December 23, 2014

DEREVA WA ROLI AJISHINDIA SAFARI YA MBUGANI NA SERENGETI (SBL)

Kaimu meneja wa bia ya Serengeti Premium Lager, Eliuruma Ngowi, akiongea kwa simu ya mkononi na mshindi wa pili wa shindano la “Tutoke na Serengeti” wakati wa kuchezesha shindan oi hilo ambapo , Deogratius Peter, toka Rombo Kilimanjaro ameibuka mshindi, kulia ni mkaguzi mwandamizi toka bodi ya michezo ya kubahatisha, Mrisho Millao. Hafla ya kuchezeshashindano hilo ilifanyika makao makuu ya Serengeti jijini Dar es Salaam.

 
Kaimu meneja wa bia ya Serengeti Premium Lager, Eliuruma Ngowi, (katikati) akiongea kwa simu ya mkononi na mshindi wa pili wa shindano la “Tutoke na Serengeti” wakati wa kuchezesha shindano hilo ambapo , Deogratius Peter, toka Rombo Kilimanjaro ameibuka mshindi, (kulia) ni mkaguzi mwandamizi toka bodi ya michezo ya kubahatisha, Mrisho Millao na kushoto ni Meneja mwendeshaji wa kanda  Serengeti , Malalia Mmassy. Hafla ya kuchezesha shindano hilo ilifanyika makao makuu ya Serengeti jijini Dar es Salaam.